Bensoul Kautamu Flani Lyrics (feat. Vijana Barubaru)
(Nimeguzwa mahali)
Mahali
(Na kautamu flani)
Kautamu flani
Papa soul, vijana barubaru
Ukinipanda
Hauwezi shuka
Shuka
Hii kitu hauwezi ruka
Ruka
Kutoka haiwezekani
Honey
Kwangu ni kwako ndani
Ata ufungwe shuka
Shuka
Wakushuke matuta
Nakuonea mbali (mbali)
Mimi ndio mwenye mali
Nataka tabibu
Anitibu
Juu mwalimu
Hana jibu
The way you smile you ignite my soul
Nipe your time your body and soul
Ona majaribu (majaribu)
Ya usiku
Unainama
Sina nguvu
Mwenzako sina hali hali hali
Usiende mbali mbali
Nimeguzwa mahali
na kautamu flani
na kama ni wewe
ongeza mpaka nilewe
Utulivu wa bahari
Kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Nilewe ye
Nilewe nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Zangu zikishuka nakuita unalift my mood
Umenitepa na umekwama kwangu
Nikiwa mavitu nipe vitu zangu
Zangu haziezi shuka,
You complete upumbavu wangu
Mama mia tumia mamia zangu
What sight I gat my eyes (on you, on you)
I close my eyes now, akilini nawaza
Furaha ntaipata vipi, meza yangu inahitaji viti
I speak my heart, nimekosewa na my human pride
Na nimeona vile love is blind, I pray to god nisimiss my sign,
When love comes my way
Nataka tabibu
Anitibu
Juu mwalimu
Hana jibu
The way you smile you ignite my soul
Nipe your time your body and soul
Ona majaribu
Ya usiku
Unainama
Nasimama
Mwenzako sina hali
Usiende mbali
Nimeguzwa mahali
Na kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
Utulivu wa bahari
Kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
Nilewe ye
Nilewe nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Nimeguzwa mahali
Utulivu wa bahari
Kautamu flani