Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    NaijaPower
    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    NaijaPower
    Home - Lyrics - Diamond Platnumz – Katam Lyrics

    Diamond Platnumz – Katam Lyrics

    June 9, 2025
    Share
    Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Diamond Platnumz Katam Lyrics (feat. Bien)

    Wimbo
    Wimbo huu
    Ajejeje
    Mmh, eh

    Joto lije ntakupepea
    Ntakutunza, ntakutetea
    Wanune, wavimbe, I don’t care
    Hawajui unachonipea
    Mpaka napagawa
    Na sio mambo ya dawa
    We ni mtamu mwaya
    Na hunanga show mbaya
    Ukinigusa tu nalegea
    Mwili wote teketeke
    Yani siwezi ata kutembea
    Kama mtoto tete tete
    (Ayayayaya)
    Na nyuma ni Muganda (huyu mwana)
    Shepu ya Kitanga (huyu mwana)
    Ngozi ya Kirundi, oh (huyu mwana)
    Sura ya Kinyarwanda (huyu mwana)
    Na nywele ya Kisomali (huyu mwana)
    Macho ya Ethiopia (huyu mwana)
    Utamu Tanzania, oh (huyu mwana)
    Akili ni ya Kenya

    Yule anayepinga asimame
    Anayepinga asimame
    Sema ukweli wako

    Nyie haka (katam tam katam)
    Kababy kangu jama (katam tam katam)
    Kashunushunu bwana (katam tam katam)
    Ooh, mzuri wewe (katam tam katam)
    Umeumbika mwaya (katam tam katam)
    Aii, yoo, yooh (katam tam katam)
    Kisura chake (katam tam katam)
    Ona umbo (katam)

    I know the bar was so low
    Lakini umenivumilia
    Mahaba nayasikia mama
    Nakupa mia kwa mia
    Baby, you don’t know
    Vile umenishikilia
    Ukanikinga wa dunia, mama
    Sijui nikupe nini, dear
    Nafufua wahenga
    Watunge nyimbo tamu na mashairi
    Mtu asije tenga
    Ishaandikwa duniani na mbinguni
    Mchuzi we’ ndo flavour
    Imebidi niite mondi aje tujadili
    Nikatuma mshenga hadi kwenu East Africa Mashariki
    (Ayayayaya)
    Na nyuma ni Muganda (huyu mwana)
    Shepu ni ya Tanga (huyu mwana)
    Ngozi ya Kirundi, oh (huyu mwana)
    Sura ya Kigali, yeeh (huyu mwana)
    Na nywele Kisomali (huyu mwana)
    Na macho ya Habesha (huyu mwana)
    Forehead ni ya Kenya (huyu mwana)
    Tabasamu la Juba

    Yule anayepinga asimame
    Anayepinga asimame
    Sema ukweli wako

    Nyie haka (katam tam katam)
    Kababy kangu jama (katam tam katam)
    Kashunushunu bwana (katam tam katam)
    Ooh, mzuri wewe (katam tam katam)
    Umeumbika mwaya (katam tam katam)
    Aii, yoo, yooh (katam tam katam)
    Kisura chake (katam tam katam)
    Ona umbo (katam tam katam)

    Sa twende popopo adigidigi
    Asuke rasta ama avae wigi
    Jamani popopo adigidigi
    Utaitaka tu kijigijigi
    Jamani popopo adigidigi
    Asuke rasta ama avae wigi
    Nasema popopo adigidigi
    Utaitaka tu kijigijigi
    Eeh, eh

    Let’s make a toast to my baby
    East African lady
    Let’s make a toast to my baby
    My African lady
    Let’s make a toast to my baby, oh
    My Asian baby, ah
    Let’s make a toast to my baby, oh
    My European baby, ah

    Aje jeje
    Mmh, mmh, mmh

    Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Related Posts

    Seyi Vibez – HOW ARE YOU Lyrics

    October 29, 2025

    CKay – BODY (danz) Lyrics

    October 23, 2025

    Harmonize – Friend Zone Lyrics

    October 17, 2025

    Comments are closed.

    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    NaijaPower.com © 2025 - All Rights Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.