Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    NaijaPower
    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    NaijaPower
    Home - Lyrics - Diamond Platnumz – Kuna Lyrics

    Diamond Platnumz – Kuna Lyrics

    April 17, 2025
    Share
    Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Diamond Platnumz Kuna Lyrics

    Wenzako waolewa we huolewi kwani we
    Ati una hila moja husemi na majirani we
    Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
    Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
    Sema na hila ya nne mwenzetu mchafu ndani we

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Kanijencee kibanda udugu wangu eeh eeh eh
    Kanijencee kibanda shoga zako wataniva

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Lalilo lilo eeeeh, pambe tu!
    Lololo lololo! Lali lali lalii, laa lalii lali lali lalii

    Ooo oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini toss umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi
    Acha nicheze mie
    Na watu wangu jangwani nalia
    Ooooh! Acha niringe mie
    Na watu wangu jangwani nalia

    Aaaaah! Aaah ah! Acha nicheze mie
    Na watu wangu jangwani nalia
    Acha nijishave shave
    Na watu wangu jangwani nalia

    Ooooh lolilo lilo eeeh!

    Kuntu! Mambo hayo
    Alolololo lolo lolooo!
    Aah eeh mama mwanangu ooh!
    Mama mwanangu ooh!
    Aah mama mwanangu eeh!
    Mama mwanangu eeh!

    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
    Waniacha napinda mgongo we, mbona sijijviwenzako waolewa we huolewi kwani we
    Ati una hila moja husemi na majirani we
    Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
    Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
    Sema na hila ya nne mwenzetu mchafu ndani we

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Kanijencee kibanda udugu wangu eeh eeh eh
    Kanijencee kibanda shoga zako wataniva

    Kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
    Kanijencee kibanda kwenu wataniva

    Lalilo lilo eeeeh, pambe tu!
    Lololo lololo! Lali lali lalii, laa lalii lali lali lalii

    Ooo oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini toss umezidi

    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

    Oooh ooh oh!
    Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
    Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi
    Acha nicheze mie
    Na watu wangu jangwani nalia
    Ooooh! Acha niringe mie
    Na watu wangu jangwani nalia

    Aaaaah! Aaah ah! Acha nicheze mie
    Na watu wangu jangwani nalia
    Acha nijishave shave
    Na watu wangu jangwani nalia

    Ooooh lolilo lilo eeeh!

    Kuntu! Mambo hayo
    Alolololo lolo lolooo!
    Aah eeh mama mwanangu ooh!
    Mama mwanangu ooh!
    Aah mama mwanangu eeh!
    Mama mwanangu eeh!

    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
    Waniacha napinda mgongo we, mbona sijijvi

    Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Related Posts

    Jeriq – Out the Mud Lyrics

    May 16, 2025

    Mr. P – ODO (Remix) Lyrics

    May 16, 2025

    Darkoo – Like Dat Lyrics

    May 15, 2025

    Comments are closed.

    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    NaijaPower.com © 2025 - All Rights Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.