Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    NaijaPower
    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    NaijaPower
    Home - Lyrics - Diamond Platnumz – Msumari Lyrics

    Diamond Platnumz – Msumari Lyrics

    October 5, 2025
    Share
    Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Diamond Platnumz Msumari Lyrics

    Mmmh mmmh mmmh
    Eeh nini sasa

    Eti amina, dua zimeitikiwa
    Ashtuti nije kupa mali yako
    Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
    Mahututi nasubiri tiba yako
    Na nisipo kuona na raha nakosa
    Situlii mpaka unikumbate darling
    Ooh
    Kiranga chote mi koma, ukianza dear
    Shughuri kwisha yangu habari

    Eti unanipenda mi (mmnh)
    Unanitaka pia (mmnh)
    Unaniamini (mmnh)
    Na umeniridhia
    Oh unanipenda mimi (mmnh)
    Unanitaka pia (mmnh)
    Unaniamini (mmnh)
    Na umeniridhia

    Mnasubiri tuachane
    Ooh mtangoja
    Mtasubiri sana mtasubiri
    Wanasubiri tuachane
    Mtasubiri sana mtasubiri
    Vuten kiti mkae
    Mtasubiri sana mtasubiri

    Ooh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
    Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja
    Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
    Ooh baby penzi laini sitoi buja
    Na moyo nishaweka kwako nanga
    Wanajisumbua kukesha kwa waganga
    Na presha zitaqwashuka na kupanda
    Tena deka we shaukwa baby tamba

    Eti unanipenda mi (mmnh)
    Unanitaka pia (mmnh)
    Unaniamini (mmnh)
    Na umeniridhia
    Oh unanipenda mimi (mmnh)
    Unanitaka pia (mmnh)
    Unaniamini (mmnh)
    Na umeniridhia

    Mnasubiri tuachane
    Mtasubiri sana mtasubiri
    Mtakesha
    Mtasubir sana mtasubiri
    Mtandike jamvi mukae
    Mtasubiri sana mtasubiri
    Mtangoja sana

    Wanasema eti umeniroga
    Ni kweli ila inawahusu nini
    Hunipendi ila unanichuna
    Ni kweli ila inawahusu nini
    Eti wanasema wewe ni kicheche
    Ni kweli ila inawahusu nini
    Utanichezea kesho uniache
    Ni kweli ila inawahusu nini

    Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Related Posts

    Seyi Vibez – HOW ARE YOU Lyrics

    October 29, 2025

    CKay – BODY (danz) Lyrics

    October 23, 2025

    Harmonize – Friend Zone Lyrics

    October 17, 2025

    Comments are closed.

    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    NaijaPower.com © 2025 - All Rights Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.