Marioo Pini Lyrics (feat. Aslay)
Kutoka alooooh
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to
Too oooh to
Moyo wake na pini to
Too oooh to
Mbio za sakafuni hazijawahi kufika
Hata kwenye mataa
Inawezekanaje uniache
Halafu nikuombee mema
Kila unachokiona ndio kuwa uyaone
Sio hayo mataa
Inawezekanaje uniache
Halafu nikuombee mema
Ooooh, Ubaya ubwela mi shabiki wa simba
Ukichapa la kushoto nachapa la kulia
Simuachii mungu
Usilete usela kwa mselaa
Me sijawahi kushindwa
Ulinifanya vibaya ndio maana
Dua zangu zilifika kwa mungu
Nacheka meno thelathini na mbili
Yote nje
Hahahaaa
Najifungiaga chumbani nazomea
Ooooooooooh
Nacheka meno thelathini na mbili
Yote nje
Hahahaaa
Nimepata habari Ex wangu anaumia aah
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to
Too oooh to
Moyo wake na pini to
Too oooh to
Ai mama wee
Mmh wouwoooh oooh
Naona furaha
Mhhh mmmh, Ni ni nilinung’unika
Nilitokwa machozi yasiyofutika
Nilisurubika nikapata stress za kutaka kufa
Si ulinidharau huuuh huh
Ulivyopata wadau uuuh
Walivyopanda dau ukanitupa
Ukaniona nyang’au uuh
Sa hivi nimejipata umechacha umechunda
Unikomeee eeh
Ulikua kama google unajua kila kitu
Ushajua haujui
Mwenzako nishajipata napewa mapasi
Ya pacome heee
Si Ulikua kama google unajua kila kitu
Ushajua haujui
Henhe
Nacheeka meno thelathini na mbili
Yote nje
Hahahaaa
Najifungiaga chumbani nazomea
Ooooooooooh
Nacheka meno thelathini na mbili
Yote nje
Hahahaaa
Nimepata habari Ex wangu anaumiaaaaah
Lolololooloh
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to
Too oooh to
Moyo wake na pini to
Too oooh to
Ai mama weeh
Naona furaha
Nasikia raha to ooh to
Aiwee totolilo to
Moyo wa
Moyo wake na pini
Shauri yake
Kutokaaaaaaa