Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    NaijaPower
    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    NaijaPower
    Home - Lyrics - Marioo – Pini Lyrics

    Marioo – Pini Lyrics

    November 30, 2024
    Share
    Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Marioo Pini Lyrics (feat. Aslay)

    Kutoka alooooh

    Siri sio siri tena nimefanikiwa
    Kutoboa moyo wake na pini to
    Too oooh to
    Moyo wake na pini to
    Too oooh to

    Mbio za sakafuni hazijawahi kufika
    Hata kwenye mataa
    Inawezekanaje uniache
    Halafu nikuombee mema
    Kila unachokiona ndio kuwa uyaone
    Sio hayo mataa
    Inawezekanaje uniache
    Halafu nikuombee mema

    Ooooh, Ubaya ubwela mi shabiki wa simba
    Ukichapa la kushoto nachapa la kulia
    Simuachii mungu
    Usilete usela kwa mselaa
    Me sijawahi kushindwa
    Ulinifanya vibaya ndio maana
    Dua zangu zilifika kwa mungu

    Nacheka meno thelathini na mbili
    Yote nje
    Hahahaaa
    Najifungiaga chumbani nazomea
    Ooooooooooh
    Nacheka meno thelathini na mbili
    Yote nje
    Hahahaaa
    Nimepata habari Ex wangu anaumia aah

    Siri sio siri tena nimefanikiwa
    Kutoboa moyo wake na pini to
    Too oooh to
    Moyo wake na pini to
    Too oooh to

    Ai mama wee
    Mmh wouwoooh oooh
    Naona furaha

    Mhhh mmmh, Ni ni nilinung’unika
    Nilitokwa machozi yasiyofutika
    Nilisurubika nikapata stress za kutaka kufa
    Si ulinidharau huuuh huh
    Ulivyopata wadau uuuh
    Walivyopanda dau ukanitupa
    Ukaniona nyang’au uuh

    Sa hivi nimejipata umechacha umechunda
    Unikomeee eeh
    Ulikua kama google unajua kila kitu
    Ushajua haujui
    Mwenzako nishajipata napewa mapasi
    Ya pacome heee
    Si Ulikua kama google unajua kila kitu
    Ushajua haujui

    Henhe

    Nacheeka meno thelathini na mbili
    Yote nje
    Hahahaaa
    Najifungiaga chumbani nazomea
    Ooooooooooh
    Nacheka meno thelathini na mbili
    Yote nje
    Hahahaaa
    Nimepata habari Ex wangu anaumiaaaaah
    Lolololooloh

    Siri sio siri tena nimefanikiwa
    Kutoboa moyo wake na pini to
    Too oooh to
    Moyo wake na pini to
    Too oooh to

    Ai mama weeh
    Naona furaha
    Nasikia raha to ooh to
    Aiwee totolilo to
    Moyo wa
    Moyo wake na pini
    Shauri yake
    Kutokaaaaaaa

    Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Related Posts

    Seyi Vibez – HOW ARE YOU Lyrics

    October 29, 2025

    CKay – BODY (danz) Lyrics

    October 23, 2025

    Harmonize – Friend Zone Lyrics

    October 17, 2025

    Comments are closed.

    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    NaijaPower.com © 2025 - All Rights Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.