Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    NaijaPower
    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    • Advertise With Us
    NaijaPower
    Home - Lyrics - Zuchu – Mama Lyrics

    Zuchu – Mama Lyrics

    December 20, 2024
    Share
    Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Zuchu Mama Lyrics

    Rafiki yangu kwenye shida, rafiki yangu kwenye raha
    Niko naye kila mida, hajawai nikataa
    Yuko radni mi kushiba, yeye ndo ashinde njaa
    Sio mwengine ni mama

    Labda nikupe picha
    Uone nafasi yako manaa
    Kikukosa kwenye maishaa
    Eeh kiukweli itanichanganya
    Eeh

    Mitihanii
    Yake yangu mimii
    Nikulipe ninii
    Kiasi gani mi sionii, oh mama

    Mamaa
    I love you mamaa
    Mamaa
    Nakupenda sanaa

    Mamaa
    I love you mamaa
    Mamaa
    Nakupenda sanaa

    Eh Mola uliyejaa rehema natanguliza shukrani (Asante)
    Bila hutu mama mwema angekuwa mgeni wa nani (Asante)
    Mnaowanjia heshima nye mnaezaje kwani
    Mimi wangu akinuna moyo unakosa amani

    Mitihanii
    Yake yangu mimii
    Nikulipe ninii
    Kiasi gani mi sionii, oh mama

    Mamaa
    I love you mamaa
    Mamaa
    Nakupenda sanaa

    Mamaa
    I love you mamaa
    Mamaa
    Nakupenda sanaa

    Hey mamangu njoo tucheze kandili (Kandili katikatikati katikati)
    Cheza kandili (Kandili katikatikati katikati)
    Tingiza kiwiliwili (Kandili katikatikati katikati)
    Kaka (Kandili kati)

    Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp

    Related Posts

    Seyi Vibez – HOW ARE YOU Lyrics

    October 29, 2025

    CKay – BODY (danz) Lyrics

    October 23, 2025

    Harmonize – Friend Zone Lyrics

    October 17, 2025

    Comments are closed.

    • Home
    • Music
    • Videos
    • Contact Us
    NaijaPower.com © 2025 - All Rights Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.